20 june
UKOMBOZI WA KIFIKRA
Tunatoa mafunzo mbalimbali kwa njia ya semina,mikutano,ushauri na midaaro yenye mlengo wa kuwakomboa kifikra watanzania katika uwekezaji, kujitambu, biashara na kuwa na mitizamo chanya katika kilimo ili kuhakikisha kwamba kila mtu anakuwa na maisha yenye tija, na kuweka alama katika Taifa hili la Tanzania kizazi hadi kizazi..
4 comments
Leave a Reply
Your email address will not be published. Required fields are marked *